Swali: Niliituma Zakaat-ul-Fitwr yangu kwenda kwa familia yangu Misri ili waitoe katika nchi yangu ilihali mimi naishi Saudi Arabia. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Hakuna neno kwa kufanya hivo na inasihi – Allaah akitaka – kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Lakini kuitoa katika sehemu ambayo unaishi ndio bora na salama zaidi. Ukiituma kwa familia yako ili wawape mafukara wa mji wako pia ni sawa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/215)
- Imechapishwa: 12/06/2018
Swali: Niliituma Zakaat-ul-Fitwr yangu kwenda kwa familia yangu Misri ili waitoe katika nchi yangu ilihali mimi naishi Saudi Arabia. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Hakuna neno kwa kufanya hivo na inasihi – Allaah akitaka – kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Lakini kuitoa katika sehemu ambayo unaishi ndio bora na salama zaidi. Ukiituma kwa familia yako ili wawape mafukara wa mji wako pia ni sawa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/215)
Imechapishwa: 12/06/2018
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kuwapa-zakaat-ul-fitwr-mafukara-wa-mji-wako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)