Swali: Mtu akiswali swalah ya ´Ishaa peke yake asome kwa sauti ya juu na aitikie “Aamiyn” peke yake?
Jibu: Ilivyopendekezwa ni yeye asome kwa sauti ya juu. Asome kwa sauti ya juu katika Fajr, ´Ishaa na Maghrib. Aidha anatakiwa kuitikia “Aamiyn” kwa sauti ya juu. Ni mamoja ameswali peke yake au pamoja na mkusanyiko. Akisoma kimyakimya pia swalah yake inasihi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 27/06/2021
Swali: Mtu akiswali swalah ya ´Ishaa peke yake asome kwa sauti ya juu na aitikie “Aamiyn” peke yake?
Jibu: Ilivyopendekezwa ni yeye asome kwa sauti ya juu. Asome kwa sauti ya juu katika Fajr, ´Ishaa na Maghrib. Aidha anatakiwa kuitikia “Aamiyn” kwa sauti ya juu. Ni mamoja ameswali peke yake au pamoja na mkusanyiko. Akisoma kimyakimya pia swalah yake inasihi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 27/06/2021
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kusoma-na-kuitikia-aamiyn-kwa-sauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)