Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mswaki na dawa ya meno baada ya kuingia alfajiri?
Jibu: Hakuna neno kwa mfungaji kutumia mswaki na dawa ya meno. Lakini kutokana na ile nguvu ya dawa ya meno bora mtu asiitumie hali ya kuwa amefunga. Kwa sababu huteremka kooni na tumboni bila ya mtu kuhisi hilo. Hakuna dharurah inayopelekea kufanya hivo. Kwa hivyo mtu ajiepushe mpaka pale atapokata swawm. Badala yake afanye hivo usiku na isiwe mchana. Lakini hata hivyo kimsingi ni kwamba inajuzu na hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/355)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mswaki na dawa ya meno baada ya kuingia alfajiri?
Jibu: Hakuna neno kwa mfungaji kutumia mswaki na dawa ya meno. Lakini kutokana na ile nguvu ya dawa ya meno bora mtu asiitumie hali ya kuwa amefunga. Kwa sababu huteremka kooni na tumboni bila ya mtu kuhisi hilo. Hakuna dharurah inayopelekea kufanya hivo. Kwa hivyo mtu ajiepushe mpaka pale atapokata swawm. Badala yake afanye hivo usiku na isiwe mchana. Lakini hata hivyo kimsingi ni kwamba inajuzu na hakuna neno.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (01/355)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/bora-kwa-mfungaji-kujiepusha-kutumia-dawa-ya-meno-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)