Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Tasbihi wakati wa kufanya Adhkaar?
Jibu: Kutumia Tasbihi inafaa. Lakini bora ni kuleta Adhkaar kwa vidole. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitazungumzishwa.”[1]
[1] Ahmad (06/370), Abu Daawuud (1501) na at-Tirmidhiy (3583) ambaye yeye upokezi wake unasema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitaulizwa na vitazungumzishwa.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 336
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Tasbihi wakati wa kufanya Adhkaar?
Jibu: Kutumia Tasbihi inafaa. Lakini bora ni kuleta Adhkaar kwa vidole. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitazungumzishwa.”[1]
[1] Ahmad (06/370), Abu Daawuud (1501) na at-Tirmidhiy (3583) ambaye yeye upokezi wake unasema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitaulizwa na vitazungumzishwa.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 336
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/bora-kutumia-vidole/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)