Swali: Lililo bora ni kusoma Qur-aan usiku au mtu alale na kuisoma mchana baada ya swalah mbalimbali?
Jibu: Asome kwa kiasi na vile itavyomkuwia wepesi kwake sawa iwe usiku au mchana. Lakini hata hivyo kusoma usiku ndio bora zaidi. Kwa kuwa Jibriyl (?alayhis-Salaam) alikuwa akimfunza Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) Qur-aan usiku. Kwa hivyo kisomo cha usiku ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
- Imechapishwa: 28/05/2017
Swali: Lililo bora ni kusoma Qur-aan usiku au mtu alale na kuisoma mchana baada ya swalah mbalimbali?
Jibu: Asome kwa kiasi na vile itavyomkuwia wepesi kwake sawa iwe usiku au mchana. Lakini hata hivyo kusoma usiku ndio bora zaidi. Kwa kuwa Jibriyl (?alayhis-Salaam) alikuwa akimfunza Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) Qur-aan usiku. Kwa hivyo kisomo cha usiku ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
Imechapishwa: 28/05/2017
https://firqatunnajia.com/bora-kusoma-qur-aan-mchana-au-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)