Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi. 5Ama hivi sasa mimi naenda zangu kwa yule aliyenituma, wala hakuna yeyote katika nyinyi aniulizaye: Unakwenda wapi? 6ila kwa sababu nimewaambieni hayo huzuni imejaa mioyoni mwenu. 7Lakini mimi nawaambieni ukweli: ni wema kwenu mimi niondoke. Kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatokujieni. Lakini mimi nikienda zangu basi nitakutumieni naye, 8naye pindi atapokuja, atauonyesha ulimwengu dhambi na haki na hukumu ni kitu gani.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Yohana 16:05-08
- Imechapishwa: 22/02/2020
Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi. 5Ama hivi sasa mimi naenda zangu kwa yule aliyenituma, wala hakuna yeyote katika nyinyi aniulizaye: Unakwenda wapi? 6ila kwa sababu nimewaambieni hayo huzuni imejaa mioyoni mwenu. 7Lakini mimi nawaambieni ukweli: ni wema kwenu mimi niondoke. Kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatokujieni. Lakini mimi nikienda zangu basi nitakutumieni naye, 8naye pindi atapokuja, atauonyesha ulimwengu dhambi na haki na hukumu ni kitu gani.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Yohana 16:05-08
Imechapishwa: 22/02/2020
https://firqatunnajia.com/bishara-ya-mtume-muhammad-%d8%b5%d9%84%d9%89-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-%d8%b9%d9%84%d9%8a%d9%87-%d9%88%d8%b3%d9%84%d9%85-ndani-ya-biblia-03/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)