Swali: Akitalikiwa bikira kabla ya kuingiliwa, je itaandikwa katika ndoa yake ya mara ya pili kwa mume wa pili kuwa ni bikira au ni mwanamke ambaye kishaingiliwa?
Jibu: Ni bikira. Ikiwa hakumwingiliani bikira. Ndoa mpya aliyofanya ikiwa hakuingiliwa, haimtoi katika ubikira wake. Maadamu (mume huyo) hakumwingilia, atabaki katika ubikira wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 31/03/2018
Swali: Akitalikiwa bikira kabla ya kuingiliwa, je itaandikwa katika ndoa yake ya mara ya pili kwa mume wa pili kuwa ni bikira au ni mwanamke ambaye kishaingiliwa?
Jibu: Ni bikira. Ikiwa hakumwingiliani bikira. Ndoa mpya aliyofanya ikiwa hakuingiliwa, haimtoi katika ubikira wake. Maadamu (mume huyo) hakumwingilia, atabaki katika ubikira wake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 31/03/2018
https://firqatunnajia.com/bikira-ambaye-hakuingiliwa-na-mume-wa-kwanza-kufunga-ndoa-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)