Swali: Inafaa kwa bibi wa mke kujifunua mbele ya mume? Je, ni Mahram wake?
Jibu: Ndio. Bibi wa mke ni mama wa mke:
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ
“Mmeharamishiwa [kuwaoa] mama zenu na wasichana wenu na dada zenu na shangazi zenu na makhalati wenu na wasichana wa kaka na wasichana wa dada na mama zenu ambao wamekunyonyesheni na ndugu zenu kwa kunyonya na mama wa wake zenu… “ (04:23)
Mama anakusudiwa yule wa karibu na wa mbali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
- Imechapishwa: 14/10/2017
Swali: Inafaa kwa bibi wa mke kujifunua mbele ya mume? Je, ni Mahram wake?
Jibu: Ndio. Bibi wa mke ni mama wa mke:
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ
“Mmeharamishiwa [kuwaoa] mama zenu na wasichana wenu na dada zenu na shangazi zenu na makhalati wenu na wasichana wa kaka na wasichana wa dada na mama zenu ambao wamekunyonyesheni na ndugu zenu kwa kunyonya na mama wa wake zenu… “ (04:23)
Mama anakusudiwa yule wa karibu na wa mbali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
Imechapishwa: 14/10/2017
https://firqatunnajia.com/bibi-ni-mama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)