Swali: Je, inajuzu kuwapiga picha watoto wangu na kumtumia nazo mama yangu kwa sababu mimi niko mbali na yeye anataka kuwaona na baada ya hapo anazichana picha hizi?
Jibu: Hii ni zawadi ya picha. Unampa mama yako zawadi ya picha? Hili halijuzu. Huku sio kumtendea wema mama yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2121
- Imechapishwa: 01/07/2020
Swali: Je, inajuzu kuwapiga picha watoto wangu na kumtumia nazo mama yangu kwa sababu mimi niko mbali na yeye anataka kuwaona na baada ya hapo anazichana picha hizi?
Jibu: Hii ni zawadi ya picha. Unampa mama yako zawadi ya picha? Hili halijuzu. Huku sio kumtendea wema mama yako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2121
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/bibi-anataka-kutumiwa-picha-za-wajukuu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)