Swali: Biashara ya nyani na punda inaweza kulinganishwa na biashara ya mbwa ambapo chumo linalotokamana na biashara hiyo ikawa chafu?
Jibu: Inafaa kuuza punda. Walikuwa wakiuziana punda katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَالْخَيْلَ وَالْبِغَالَ وَالْحَمِيرَ لِتَرْكَبُوهَا وَزِينَةً ۚ وَيَخْلُقُ مَا لَا تَعْلَمُونَ
”Farasi na nyumbu na punda ili muwapande na wawe mapambo – na Anaumba msivyovijua.”[1]
Kwa hivyo inafaa kuuza punda. Kuhusu ngedere haijuzu kuuza; nyani ni chafu zaidi kuliko mbwa.
[1] 16:08
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (26)
- Imechapishwa: 11/05/2021
Swali: Biashara ya nyani na punda inaweza kulinganishwa na biashara ya mbwa ambapo chumo linalotokamana na biashara hiyo ikawa chafu?
Jibu: Inafaa kuuza punda. Walikuwa wakiuziana punda katika zama za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَالْخَيْلَ وَالْبِغَالَ وَالْحَمِيرَ لِتَرْكَبُوهَا وَزِينَةً ۚ وَيَخْلُقُ مَا لَا تَعْلَمُونَ
”Farasi na nyumbu na punda ili muwapande na wawe mapambo – na Anaumba msivyovijua.”[1]
Kwa hivyo inafaa kuuza punda. Kuhusu ngedere haijuzu kuuza; nyani ni chafu zaidi kuliko mbwa.
[1] 16:08
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (26)
Imechapishwa: 11/05/2021
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-nyani-na-punda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)