Swali: Ninapokuwa msikitini katika darsa hupigiwa simu na baadhi ya wateja wanataka bidhaa fulani. Je, inafaa kwangu kuwajibu ndani ya msikiti?
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya biashara ndani ya msikiti. Ni mamoja biashara hiyo ni kwa njia ya simu au njia ya mazungumzo ya mdomo. Hiajuzu kufanya hivo. Haijuzu kufanya biashara wala kukodishiana [ndani ya msikiti].
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 19/04/2021
Swali: Ninapokuwa msikitini katika darsa hupigiwa simu na baadhi ya wateja wanataka bidhaa fulani. Je, inafaa kwangu kuwajibu ndani ya msikiti?
Jibu: Hapana, haijuzu kufanya biashara ndani ya msikiti. Ni mamoja biashara hiyo ni kwa njia ya simu au njia ya mazungumzo ya mdomo. Hiajuzu kufanya hivo. Haijuzu kufanya biashara wala kukodishiana [ndani ya msikiti].
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 19/04/2021
https://firqatunnajia.com/biashara-kwenye-simu-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)