Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mikanda na vitabu ambapo ndani yake kuna kuwatukana Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) au kuigawanya kwa watu ili waweze kusikiliza? Unamnasihi nini kwa anayefanya hivo?
Jibu: Kuuza mikanda hii au vitabu ambavyo vina kuwatukana Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) au baadhi yao, ni uuzaji wa batili. Hii ni bidhaa ya haramu. Ni wajibu kuivunja na kuichana. Thamani yake ni haramu. Kuieneza ni haramu. Lililo la wajibu ni kuivunja na kuichana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 19/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza mikanda na vitabu ambapo ndani yake kuna kuwatukana Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) au kuigawanya kwa watu ili waweze kusikiliza? Unamnasihi nini kwa anayefanya hivo?
Jibu: Kuuza mikanda hii au vitabu ambavyo vina kuwatukana Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) au baadhi yao, ni uuzaji wa batili. Hii ni bidhaa ya haramu. Ni wajibu kuivunja na kuichana. Thamani yake ni haramu. Kuieneza ni haramu. Lililo la wajibu ni kuivunja na kuichana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
Imechapishwa: 19/06/2018
https://firqatunnajia.com/biashara-batili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)