Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo wa benki?
Jibu: Mkopo mzuri unajuzu. Mkopo ambao hauna ribaa wala kuwekeza unajuzu; mkopo ambao unakopa kiwango fulani cha pesa na unarudisha hicho hicho bila ya ziada. Huu ndio mkopo mzuri. Ama kuhusiana na mkopo unaotakiwa kutoa ziada au manufaa (hata kama sio ziada) ni ribaa. Kila mkopo wenye kupelekea katika manufaa ni ribaa. Haijalishi kiti ikiwa unachukuliwa kutoka kwenye benki au kwenginepo. Benki haukopi isipokuwa kwa ribaa [faida].
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Swali: Je, inajuzu kuchukua mkopo wa benki?
Jibu: Mkopo mzuri unajuzu. Mkopo ambao hauna ribaa wala kuwekeza unajuzu; mkopo ambao unakopa kiwango fulani cha pesa na unarudisha hicho hicho bila ya ziada. Huu ndio mkopo mzuri. Ama kuhusiana na mkopo unaotakiwa kutoa ziada au manufaa (hata kama sio ziada) ni ribaa. Kila mkopo wenye kupelekea katika manufaa ni ribaa. Haijalishi kiti ikiwa unachukuliwa kutoka kwenye benki au kwenginepo. Benki haukopi isipokuwa kwa ribaa [faida].
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
Imechapishwa: 27/06/2015
https://firqatunnajia.com/benki-haikukopi-isipokuwa-kwa-ribaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)