Swali: Muulizaji mwanamke kutoka UK anasema; nimezaliwa katika familia ambayo si ya Kiislamu na wazazi wangu hawakuoana, halafu nikaolewa na mume mwingine na nikajiita kwa ubini wake [huyo baba mdogo]. Je, ni wajibu kwangu kubadilisha jina langu kwa kuwa unasibisho wa mwanamme huyu si sahihi kwa kuzingatia ya kwamba kubadilisha jina kwetu inaweza kutusababishia madhara?
Jibu: Ni wajibu kwako kubadilisha jina. Haijuzu kwako kujiita ubini kwa mtu ambaye si baba yako. Kalaaniwa yule ajiitaye kwa ubini ambao si wa baba yake. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
ادْعُوهُمْ لِآبَائِهِمْ هُوَ أَقْسَطُ عِندَ اللَّهِ
“Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Allaah.” (33:05)
Ni wajibu kwako kubadilisha jina lako. Usibaki hali ya kuwa ni mwenye kunasibishwa kwa mwanamme ambaye si baba yako. Na uwe mwenye subira kwa yatayokusibu katika madhara na wewe utakuwa mwenye kupewa ujira – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13840
- Imechapishwa: 04/07/2021
Swali: Muulizaji mwanamke kutoka UK anasema; nimezaliwa katika familia ambayo si ya Kiislamu na wazazi wangu hawakuoana, halafu nikaolewa na mume mwingine na nikajiita kwa ubini wake [huyo baba mdogo]. Je, ni wajibu kwangu kubadilisha jina langu kwa kuwa unasibisho wa mwanamme huyu si sahihi kwa kuzingatia ya kwamba kubadilisha jina kwetu inaweza kutusababishia madhara?
Jibu: Ni wajibu kwako kubadilisha jina. Haijuzu kwako kujiita ubini kwa mtu ambaye si baba yako. Kalaaniwa yule ajiitaye kwa ubini ambao si wa baba yake. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
ادْعُوهُمْ لِآبَائِهِمْ هُوَ أَقْسَطُ عِندَ اللَّهِ
“Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Allaah.” (33:05)
Ni wajibu kwako kubadilisha jina lako. Usibaki hali ya kuwa ni mwenye kunasibishwa kwa mwanamme ambaye si baba yako. Na uwe mwenye subira kwa yatayokusibu katika madhara na wewe utakuwa mwenye kupewa ujira – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13840
Imechapishwa: 04/07/2021
https://firqatunnajia.com/bado-anaitwa-ubini-wa-mumewe-wa-kitambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)