Swali: Ni kipi kinachompasa mwanamke pindi imamu anaposujudu sijda ya kisomo na yeye mwanamke akarukuu. Je, analazimika kuleta sijda ya kusahau au afanye nini?
Jibu: Imamu akisujudu sijda ya kisomo asujudu pamoja naye na asirukuu. Lakini akirukuu kwa kusahau hakuna kinachomlazimu. Ikiwa amefanya hivo sehemu ya mwisho ya swalah yake na amepitwa na baadhi ya Rak´ah, basi anatakiwa kusujudu sijda ya kusahau kabla ya salamu. Lakini kama alianza na imamu mwanzoni mwa swalah basi yeye imamu ndiye mwenye kumbebea jukumu hilo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
- Imechapishwa: 26/09/2022
Swali: Ni kipi kinachompasa mwanamke pindi imamu anaposujudu sijda ya kisomo na yeye mwanamke akarukuu. Je, analazimika kuleta sijda ya kusahau au afanye nini?
Jibu: Imamu akisujudu sijda ya kisomo asujudu pamoja naye na asirukuu. Lakini akirukuu kwa kusahau hakuna kinachomlazimu. Ikiwa amefanya hivo sehemu ya mwisho ya swalah yake na amepitwa na baadhi ya Rak´ah, basi anatakiwa kusujudu sijda ya kusahau kabla ya salamu. Lakini kama alianza na imamu mwanzoni mwa swalah basi yeye imamu ndiye mwenye kumbebea jukumu hilo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Khaatam-ul-Mursaliyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-10/lqa-mftoh-godian.mp3
Imechapishwa: 26/09/2022
https://firqatunnajia.com/badala-ya-kwenda-sujuud-ya-kisomo-ameenda-katika-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)