Swali: Je, inajuzu kwa baba kumtaliki mke wa mtoto wake kukiwepo sababu?
Jibu: Haijuzu isipokuwa tu ikiwa baba yuko na utawala juu yake, au ni mdogo au ni mwendawazimu. Ikiwa ana utawala juu yake, hapo anaweza kumtalikia. Au mtoto ndiye akawa amemwakilisha baba kwa hilo. Ikiwa ni mtoto ndiye kamwakilisha baba kuwa anaweza kumtaliki mke wake, hakuna ubaya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10011
- Imechapishwa: 07/03/2018
Swali: Je, inajuzu kwa baba kumtaliki mke wa mtoto wake kukiwepo sababu?
Jibu: Haijuzu isipokuwa tu ikiwa baba yuko na utawala juu yake, au ni mdogo au ni mwendawazimu. Ikiwa ana utawala juu yake, hapo anaweza kumtalikia. Au mtoto ndiye akawa amemwakilisha baba kwa hilo. Ikiwa ni mtoto ndiye kamwakilisha baba kuwa anaweza kumtaliki mke wake, hakuna ubaya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10011
Imechapishwa: 07/03/2018
https://firqatunnajia.com/baba-kumtalikia-mtoto-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)