Swali: Kuna mwanaume amenichumbia. Ana mawasiliano na baba yangu ambaye yuko katika nchi nyingine. Baba yangu akatoa kuafiki kwake kwa njia ya simu. Inajuzu kwetu kuoana kwa njia hii ikiwa kutakuwepo mashahidi wawili?
Jibu: Hapana. Ni lazima walii ahudhurie wakati wa ndoa, mashahidi wawili ni lazima wahudhurie wakati wa ndoa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Kuna mwanaume amenichumbia. Ana mawasiliano na baba yangu ambaye yuko katika nchi nyingine. Baba yangu akatoa kuafiki kwake kwa njia ya simu. Inajuzu kwetu kuoana kwa njia hii ikiwa kutakuwepo mashahidi wawili?
Jibu: Hapana. Ni lazima walii ahudhurie wakati wa ndoa, mashahidi wawili ni lazima wahudhurie wakati wa ndoa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/baba-anamuozesha-binti-yake-kwa-simu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)