Swali: Nikiwa sipo nyumbani wakati kunapoadhiniwa kwa ajili ya swalah ni wajibu kwa watoto wangu kwenda msikitini pamoja na kuwa barabarani kuna magari mengi yanayopita na watoto wangu bado hawajabaleghe na kuna khatari kwao?
Jibu: Wawakilishie mtu. Muwakilishe jirani au mtu mwengine awezaye kwenda nao. Wawakilishie mtu. Ni lazima waende msikitini. Ikiwa unachelea juu yao muwakilishe jirani yako, imamu wa msikiti au muadhini. Hawa wanaweza kusaidiana na wewe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Swali: Nikiwa sipo nyumbani wakati kunapoadhiniwa kwa ajili ya swalah ni wajibu kwa watoto wangu kwenda msikitini pamoja na kuwa barabarani kuna magari mengi yanayopita na watoto wangu bado hawajabaleghe na kuna khatari kwao?
Jibu: Wawakilishie mtu. Muwakilishe jirani au mtu mwengine awezaye kwenda nao. Wawakilishie mtu. Ni lazima waende msikitini. Ikiwa unachelea juu yao muwakilishe jirani yako, imamu wa msikiti au muadhini. Hawa wanaweza kusaidiana na wewe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2018
https://firqatunnajia.com/baba-anakhofia-watoto-kwenda-msikitini-anapokuwa-hayuko-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)