Swali: Ni vitabu vipi ambavyo unamnasihi mwanamke wa Kiislamu kuwa nayo?
Jibu: Tunavyomnasihi navyo ni kwa mfano; “Riyaadh-us-Swaalihiyn”, “Fath al-Majiyd” ambacho ni Sharh Kitaab-ut-Tawhiyd, “al-Lu-ul wal-Marjaan” na “Buluugh-ul-Maraam”. Hivi ni kwa mwanamke ambaye anaweza kusoma na kuandika. Ni vitabu ambavyo ni mukhtaswari. Hali kadhalika kitabu cha ndugu yetu Muhammad “al-Qawl al-Mufiyd”. Ama kwa mwanamke mwenye uwezo wa kufanya utafiti na uhak-ikisho, inatakikana kwake kuwa na Maktabah kubwa kadiri na atakavyoweza. Alhamdulillaah.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1596
- Imechapishwa: 07/03/2018
Swali: Ni vitabu vipi ambavyo unamnasihi mwanamke wa Kiislamu kuwa nayo?
Jibu: Tunavyomnasihi navyo ni kwa mfano; “Riyaadh-us-Swaalihiyn”, “Fath al-Majiyd” ambacho ni Sharh Kitaab-ut-Tawhiyd, “al-Lu-ul wal-Marjaan” na “Buluugh-ul-Maraam”. Hivi ni kwa mwanamke ambaye anaweza kusoma na kuandika. Ni vitabu ambavyo ni mukhtaswari. Hali kadhalika kitabu cha ndugu yetu Muhammad “al-Qawl al-Mufiyd”. Ama kwa mwanamke mwenye uwezo wa kufanya utafiti na uhak-ikisho, inatakikana kwake kuwa na Maktabah kubwa kadiri na atakavyoweza. Alhamdulillaah.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=1596
Imechapishwa: 07/03/2018
https://firqatunnajia.com/baadhi-ya-vitabu-ambavyo-mwanafunzi-mwanamke-anapaswa-kuwa-navyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)