Swali: Watu wengi wa kawaida wanasema “Allaah Yuko kila mahala”. Ninapowawekea wazi ya kwamba msemo huo ni kufuru, wanasema “Mimi sijui hilo na mtu anachukuliwa kutokana na nia yake”. Niseme nini?
Jibu: Sio jambo zuri. Mwambie “Alhamduli Allaah, wewe kwa hivi sasa umejua haki na usiseme tena hivo mara nyingine”. Akitekeleza, Alhamduli Allaah, anapewa udhuru kwa ujinga wake, na ikiwa hakutekeleza inakuwa anafanyia kusudi. Hivyo anakuwa ni katika Huluuliyyuun.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Watu wengi wa kawaida wanasema “Allaah Yuko kila mahala”. Ninapowawekea wazi ya kwamba msemo huo ni kufuru, wanasema “Mimi sijui hilo na mtu anachukuliwa kutokana na nia yake”. Niseme nini?
Jibu: Sio jambo zuri. Mwambie “Alhamduli Allaah, wewe kwa hivi sasa umejua haki na usiseme tena hivo mara nyingine”. Akitekeleza, Alhamduli Allaah, anapewa udhuru kwa ujinga wake, na ikiwa hakutekeleza inakuwa anafanyia kusudi. Hivyo anakuwa ni katika Huluuliyyuun.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/awwaam-wanaosema-kuwa-allaah-yuko-kila-mahala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)