Swali: Je, imethibiti ya kwamba anayekwenda miayo aseme “A´udhubi llaahi minash-Shaytwaani rajiym” kwa kuwa miayo unatokamana na shaytwaan?
Jibu: Hili halikuthibiti. Hili linafanywa na ´Awwaam. ´Awwaam ndio wanaomba kinga dhidi ya shaytwaan. Pamoja na hivyo ni kitu ambacho hakikuthibiti kutokana na ninavyojua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, imethibiti ya kwamba anayekwenda miayo aseme “A´udhubi llaahi minash-Shaytwaani rajiym” kwa kuwa miayo unatokamana na shaytwaan?
Jibu: Hili halikuthibiti. Hili linafanywa na ´Awwaam. ´Awwaam ndio wanaomba kinga dhidi ya shaytwaan. Pamoja na hivyo ni kitu ambacho hakikuthibiti kutokana na ninavyojua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-02.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/awwaam-na-audhubillaah-wakati-wa-kwenda-miayo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)