Miongoni mwa athari za madhehebu haya [Wahdat-ul-Wujuud] ni kwamba wanaonelea kuwa hakuna tofauti kati ya uzinzi na ndoa, pombe na maji, mama na baba na ajinabi. Wote hawa ni kama kitu kimoja. Kwa sababu kuna uwepo mmoja tu.
Kwa hivyo ni lazima kwa mwanafunzi awe na ujuzi na awe na tahadhari na madhehebu haya machafu ambayo ndio madhehebu ya kikafiri zaidi katika ardhi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/159-160)
- Imechapishwa: 30/05/2020
Miongoni mwa athari za madhehebu haya [Wahdat-ul-Wujuud] ni kwamba wanaonelea kuwa hakuna tofauti kati ya uzinzi na ndoa, pombe na maji, mama na baba na ajinabi. Wote hawa ni kama kitu kimoja. Kwa sababu kuna uwepo mmoja tu.
Kwa hivyo ni lazima kwa mwanafunzi awe na ujuzi na awe na tahadhari na madhehebu haya machafu ambayo ndio madhehebu ya kikafiri zaidi katika ardhi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/159-160)
Imechapishwa: 30/05/2020
https://firqatunnajia.com/athari-mbaya-za-wahdat-ul-wujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)