Swali: Mimi ni askari na nimekutana na mwezi wa Ramadhaan. Je, inajuzu kwangu kula pamoja na kuzingatia kwamba hali yangu hainisaidii juu ya suala la funga?
Jibu: Haijuzu kwako kula katika Ramadhaan ilihali swawm ni yenye kukuwajibikia. Isipokuwa ukiwa ni msafiri au mgonjwa maradhi ambayo huwezi kufunga. Amesema (Ta´ala):
وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Atakayekuwa mgonjwa au safarini basi atimize idadi katika siku nyinginezo.”[1]
وَمَا جَعَلَ عَلَيْكُمْ فِي الدِّينِ مِنْ حَرَجٍ
“Hakukufanyieni ugumu wowote ule katika dini.”[2]
لَا يُكَلِّفُ اللَّـهُ نَفْسًا إِلَّا وُسْعَهَا
”Allaah hakalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadiri ya uwezo wake.”[3]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ninapokuamrisheni jambo basi lifanyeni kwa kiasi cha uwezo wenu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] 02:185
[2] 22:78
[3] 02:286
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3924)
- Imechapishwa: 27/04/2020
Swali: Mimi ni askari na nimekutana na mwezi wa Ramadhaan. Je, inajuzu kwangu kula pamoja na kuzingatia kwamba hali yangu hainisaidii juu ya suala la funga?
Jibu: Haijuzu kwako kula katika Ramadhaan ilihali swawm ni yenye kukuwajibikia. Isipokuwa ukiwa ni msafiri au mgonjwa maradhi ambayo huwezi kufunga. Amesema (Ta´ala):
وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
“Atakayekuwa mgonjwa au safarini basi atimize idadi katika siku nyinginezo.”[1]
وَمَا جَعَلَ عَلَيْكُمْ فِي الدِّينِ مِنْ حَرَجٍ
“Hakukufanyieni ugumu wowote ule katika dini.”[2]
لَا يُكَلِّفُ اللَّـهُ نَفْسًا إِلَّا وُسْعَهَا
”Allaah hakalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadiri ya uwezo wake.”[3]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ninapokuamrisheni jambo basi lifanyeni kwa kiasi cha uwezo wenu.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
[1] 02:185
[2] 22:78
[3] 02:286
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (3924)
Imechapishwa: 27/04/2020
https://firqatunnajia.com/askari-ana-ruhusa-ya-kula-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)