Swali: Akifa ambaye alikuwa haswali atapata uombezi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au uombezi wa watoto wake waliokufa wakiwa wadogo?
Jibu: Mwenye kufa ilihali ni mwenye kuacha Swalah kwa kukusudia, huyu sio Muislamu na hapati uombezi wowote.
فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
“Basi hautowafaa uombezi wowote [ule] wa waombezi.” (74:48)
مَا سَلَكَكُمْ فِي سَقَرَ قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
“Nini kilichokuingizeni katika [Moto wa] Saqar?” Watasema: “Hatukuwa miongoni mwa wanaoswali.” (74:42-43)
Mpaka Aliposema (Ta´ala):
فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
“Basi hautowafaa uombezi wowote [ule] wa waombezi.” (74:48)
Ambaye haswali kwa kukusudia, na akafa juu ya hali hiyo, hautomfaa uombezi wa waombezi na haijuzu kumuombea msamaha wala kumuombea du´aa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2018
Swali: Akifa ambaye alikuwa haswali atapata uombezi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) au uombezi wa watoto wake waliokufa wakiwa wadogo?
Jibu: Mwenye kufa ilihali ni mwenye kuacha Swalah kwa kukusudia, huyu sio Muislamu na hapati uombezi wowote.
فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
“Basi hautowafaa uombezi wowote [ule] wa waombezi.” (74:48)
مَا سَلَكَكُمْ فِي سَقَرَ قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
“Nini kilichokuingizeni katika [Moto wa] Saqar?” Watasema: “Hatukuwa miongoni mwa wanaoswali.” (74:42-43)
Mpaka Aliposema (Ta´ala):
فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
“Basi hautowafaa uombezi wowote [ule] wa waombezi.” (74:48)
Ambaye haswali kwa kukusudia, na akafa juu ya hali hiyo, hautomfaa uombezi wa waombezi na haijuzu kumuombea msamaha wala kumuombea du´aa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
Imechapishwa: 21/06/2018
https://firqatunnajia.com/asiyeswali-hatopata-uombezi-wowote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)