Swali: Ni ipi hukumu watu wa kawaida wakaiga madhehebu maalum na wakarejea kwa baadhi ya wanachuoni? Je, huo ni ushabiki?
Jibu: Hapana, kwa sababu Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
فَاسْأَلُوا أَهْلَ الذِّكْرِ إِن كُنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ
“Waulizeni watu wa ukumbusho mkiwa hamjui.”[1]
Asiyekuwa na elimu anapaswa kuwauliza wanachuoni. Allaah ndiye kaamrisha hilo.
[1] 21:07
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 25/11/2018
Swali: Ni ipi hukumu watu wa kawaida wakaiga madhehebu maalum na wakarejea kwa baadhi ya wanachuoni? Je, huo ni ushabiki?
Jibu: Hapana, kwa sababu Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
فَاسْأَلُوا أَهْلَ الذِّكْرِ إِن كُنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ
“Waulizeni watu wa ukumbusho mkiwa hamjui.”[1]
Asiyekuwa na elimu anapaswa kuwauliza wanachuoni. Allaah ndiye kaamrisha hilo.
[1] 21:07
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
Imechapishwa: 25/11/2018
https://firqatunnajia.com/asiyekuwa-na-elimu-ruhusa-kwake-kufuata-madhehebu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)