Asiyekuwa na elimu ruhusa kwake kufuata madhehebu

Swali: Ni ipi hukumu watu wa kawaida wakaiga madhehebu maalum na wakarejea kwa baadhi ya wanachuoni? Je, huo ni ushabiki?

Jibu: Hapana, kwa sababu Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:

فَاسْأَلُوا أَهْلَ الذِّكْرِ إِن كُنتُمْ لَا تَعْلَمُونَ

“Waulizeni watu wa ukumbusho mkiwa hamjui.”[1]

Asiyekuwa na elimu anapaswa kuwauliza wanachuoni. Allaah ndiye kaamrisha hilo.

[1] 21:07

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (80) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-17-7-1439.mp3
  • Imechapishwa: 25/11/2018