Swali: Je, ni kweli kwamba watu wa kwanza kuitwa jina la ´Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah´ ni Ashaa´irah kisha baadaye likawa jina la Ahl-ul-Hadiyth?
Jibu: Sijawahi kuyasikia hayo. Hilo ni jina la Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Sijawahi kusikia kuwa ni jina la Ashaa´irah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 22/11/2020
Swali: Je, ni kweli kwamba watu wa kwanza kuitwa jina la ´Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah´ ni Ashaa´irah kisha baadaye likawa jina la Ahl-ul-Hadiyth?
Jibu: Sijawahi kuyasikia hayo. Hilo ni jina la Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Sijawahi kusikia kuwa ni jina la Ashaa´irah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 22/11/2020
https://firqatunnajia.com/ashaairah-ndio-wa-kwanza-kuitwa-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)