ar-Raashiyd Na al-Haafidhw Ni Majina Ya Allaah?

Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?

Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.

فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا

“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64)

اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ

“Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06)

Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
  • Imechapishwa: 31/05/2015