Swali: Je, swalah ya jeneza imeshurutisha yale yaliyoshurutishwa katika swalah ya kawaida katika twahara, kuelekea Qiblah na mengineyo?
Jibu: Ndio, kwa sababu ni swalah. Ni lazima kuelekea Qiblah na ni lazima kuwa na wudhuu´. Haitoshi kufanya Tayammum kwa kuchelea jeneza litaondoka. Kuna maoni dhaifu yanayosema kwamba mtu afanye Tayammum akichelea kuondolewa kwa jeneza. Lakini hata hivyo ni maoni yasiyokuwa na nguvu. Maoni ya sawa ni kwamba swalah ya jeneza haisihi isipokuwa mpaka mtu atawadhe ikiwa anapata maji. Ikiwa hakupata [udongo wa kufanya] Tayammum akiwa nje ya mji [ni sawa]. Ama ndani ya mji ni lazima atawadhe. Mfano wa hilo ni swalah ya ijumaa akichelea kumpita. Ni lazima kutawadha japokuwa muda utampita na hapo itambidi aswali Dhuhr.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 21/05/2019
Swali: Je, swalah ya jeneza imeshurutisha yale yaliyoshurutishwa katika swalah ya kawaida katika twahara, kuelekea Qiblah na mengineyo?
Jibu: Ndio, kwa sababu ni swalah. Ni lazima kuelekea Qiblah na ni lazima kuwa na wudhuu´. Haitoshi kufanya Tayammum kwa kuchelea jeneza litaondoka. Kuna maoni dhaifu yanayosema kwamba mtu afanye Tayammum akichelea kuondolewa kwa jeneza. Lakini hata hivyo ni maoni yasiyokuwa na nguvu. Maoni ya sawa ni kwamba swalah ya jeneza haisihi isipokuwa mpaka mtu atawadhe ikiwa anapata maji. Ikiwa hakupata [udongo wa kufanya] Tayammum akiwa nje ya mji [ni sawa]. Ama ndani ya mji ni lazima atawadhe. Mfano wa hilo ni swalah ya ijumaa akichelea kumpita. Ni lazima kutawadha japokuwa muda utampita na hapo itambidi aswali Dhuhr.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 21/05/2019
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-maoni-yanayosema-kufanya-tayammum-juu-ya-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)