Swali: Ni ipi Sunnah inapokuja katika Takbiyr na kunyanyua au kutonyanyua mikono katika swalah ya jeneza?
Jibu: Swalah ya jeneza ina Takbiyr nne. Kuhusu kunyanyuma mikono ni jambo limepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah akiwemo Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kwa hivyo bora ni mtu kunyanyua.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67941&audiotype=lectures&browseby=speaker
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Ni ipi Sunnah inapokuja katika Takbiyr na kunyanyua au kutonyanyua mikono katika swalah ya jeneza?
Jibu: Swalah ya jeneza ina Takbiyr nne. Kuhusu kunyanyuma mikono ni jambo limepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah akiwemo Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa). Kwa hivyo bora ni mtu kunyanyua.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa//index.cfm?do=cms.AudioDetails&audioid=67941&audiotype=lectures&browseby=speaker
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-kunyanyua-mikono-katika-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)