Swali: Adhaana sikioni mwa mtoto imesihi? Ni Sunnah?

Jibu: Ndio. Ni kitendo kimekuja katika baadhi ya Hadiyth. Lakini katika cheni za wapokezi wake kuna kitu. Amezitaja Ibn-ul-Qayyim katika “Tuhfat-ul-Waduud fiy Ahkaam-il-Uluud”. Kwa hiyo hakuna neno akiadhiniwa na akakimiwa sikioni mwake.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
  • Imechapishwa: 15/02/2019