Swali: Ni ipi hukumu ya makafiri ambao hawakufikiwa na ulinganizi wa Kiislamu katika wakati huu au wamefikiwa kwa njia iliochafuliwa?
Jibu: Ambaye hakufikiwa basi hukumu yake ni ya wale ambao hawakufikiwa na Mtume. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
“Hatukuwa ni wenye kuadhibu mpaka Tupeleke Mtume.”[1]
Kuhusu yule ambaye amefikiwa na ulinganizi basi amekwishasimamikiwa na hoja. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[2]
Ambaye amefikiwa na hoja ya Kiislamu basi ameondokewa na udhuru.
[1] 17:15
[2] 06:19
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 29/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya makafiri ambao hawakufikiwa na ulinganizi wa Kiislamu katika wakati huu au wamefikiwa kwa njia iliochafuliwa?
Jibu: Ambaye hakufikiwa basi hukumu yake ni ya wale ambao hawakufikiwa na Mtume. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
“Hatukuwa ni wenye kuadhibu mpaka Tupeleke Mtume.”[1]
Kuhusu yule ambaye amefikiwa na ulinganizi basi amekwishasimamikiwa na hoja. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ وَمَن بَلَغَ
“Nimefunuliwa Wahy hii Qur-aan ili nikuonyeni kwayo na kila itakayomfikia.”[2]
Ambaye amefikiwa na hoja ya Kiislamu basi ameondokewa na udhuru.
[1] 17:15
[2] 06:19
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
Imechapishwa: 29/05/2020
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-02/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)