Swali: Ikiwa mtu amepitwa katika siku ile ya saba kufanya ´Aqiyqah. Inajuzu kwake kuchinja ´Aqiyqah katika ile siku ya nane au ya tisa?
Jibu: Inajuzu, lakini lililo bora ni kuchinja katika ile siku ya tarehe ishirini na moja. Siku ya kwanza ni ile ya saba, kisha ile siku ya kumi na nne, halafu ile siku ya ishirini na moja. Haya ndio masiku bora. Vinginevyo inafaa kuchinja katika siku yoyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
- Imechapishwa: 12/11/2017
Swali: Ikiwa mtu amepitwa katika siku ile ya saba kufanya ´Aqiyqah. Inajuzu kwake kuchinja ´Aqiyqah katika ile siku ya nane au ya tisa?
Jibu: Inajuzu, lakini lililo bora ni kuchinja katika ile siku ya tarehe ishirini na moja. Siku ya kwanza ni ile ya saba, kisha ile siku ya kumi na nne, halafu ile siku ya ishirini na moja. Haya ndio masiku bora. Vinginevyo inafaa kuchinja katika siku yoyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
Imechapishwa: 12/11/2017
https://firqatunnajia.com/aqiyqah-siku-ya-nane/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)