Swali: Ambaye abadilisha jina lake imesuniwa kwake kuchinja kondoo wawili wa ´Aqiyqah hata kama alishafanya ´Aqiyqah ya kuchinja mwanzoni mwa kuzaliwa kwake?
Jibu: Hapana, hakuna haja. Akibadilisha jina lake hahitaji kufanya ´Aqiyqah. ´Aqiyqah ni mara moja. Kama alifanyiwa ´Aqiyqah inatosha. Hakuna juu yake kitu akibadilisha jina lake kwa jina jingine lililo bora zaidi. Hakuna ´Aqiyqah wala kitu kingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21680/هل-تجب-العقيقة-على-من-غير-اسمه
- Imechapishwa: 11/09/2022
Swali: Ambaye abadilisha jina lake imesuniwa kwake kuchinja kondoo wawili wa ´Aqiyqah hata kama alishafanya ´Aqiyqah ya kuchinja mwanzoni mwa kuzaliwa kwake?
Jibu: Hapana, hakuna haja. Akibadilisha jina lake hahitaji kufanya ´Aqiyqah. ´Aqiyqah ni mara moja. Kama alifanyiwa ´Aqiyqah inatosha. Hakuna juu yake kitu akibadilisha jina lake kwa jina jingine lililo bora zaidi. Hakuna ´Aqiyqah wala kitu kingine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21680/هل-تجب-العقيقة-على-من-غير-اسمه
Imechapishwa: 11/09/2022
https://firqatunnajia.com/aqiyqah-kwa-kubadilisha-jina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)