Swali: Katika mambo mengi utamuona mtu anaapa kwa kuweka mkono juu ya musahafu. Je, njia hii ni sahihi au inatosha kwa mtu kuapa tu kwa jina la Allaah?
Jibu: Inatosha kwa mtu kuapa kwa jina la Allaah pasi na kuweka mkono wake juu ya musahafu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8812&PageNo=1&BookID=3
- Imechapishwa: 27/05/2018
Swali: Katika mambo mengi utamuona mtu anaapa kwa kuweka mkono juu ya musahafu. Je, njia hii ni sahihi au inatosha kwa mtu kuapa tu kwa jina la Allaah?
Jibu: Inatosha kwa mtu kuapa kwa jina la Allaah pasi na kuweka mkono wake juu ya musahafu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=8812&PageNo=1&BookID=3
Imechapishwa: 27/05/2018
https://firqatunnajia.com/apa-kwa-jina-la-allaah-pasi-na-kuweka-mkono-juu-ya-musahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)