Swali: Je, ni lazima kwanza kumnasihi anayeraddiwa kabla ya Radd? Kwa sababu baadhi ya watu wanasema kuwa ni lazima kumnasihi kwanza kabla ya kumraddi. Ni ipi Manhaj ya Salaf kuhusiana na masuala haya?
Jibu: Ikiwa anakubali nasaha, bila ya shaka ni bora kuliko kumraddi. Ikiwa anakubali nasaha na atajirudi, hili ndio linalotakikana. Ama ikiwa hakubali nasaha, ni lazima kumraddi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, ni lazima kwanza kumnasihi anayeraddiwa kabla ya Radd? Kwa sababu baadhi ya watu wanasema kuwa ni lazima kumnasihi kwanza kabla ya kumraddi. Ni ipi Manhaj ya Salaf kuhusiana na masuala haya?
Jibu: Ikiwa anakubali nasaha, bila ya shaka ni bora kuliko kumraddi. Ikiwa anakubali nasaha na atajirudi, hili ndio linalotakikana. Ama ikiwa hakubali nasaha, ni lazima kumraddi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (42) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-03-10.MP3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/anayestahiki-kunasihiwa-na-asiyenasihiwa-wakati-wa-radd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)