Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema “Hakuna kati yetu sisi na wakristo tofauti” na anakufuru kwa hilo?
Jibu: Tunamuomba Allaah afya. Wakristo wanasema Allaah ni utatu na sisi tunasema Allaah ni Mmoja. Hakuna tofauti katika haya?! Tunamuomba Allaah afya. Ikiwa ni mwenye kukusudia kwa kusema haya, ni mwenye khatari juu ya ´Aqiydah yake. Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jalla).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema “Hakuna kati yetu sisi na wakristo tofauti” na anakufuru kwa hilo?
Jibu: Tunamuomba Allaah afya. Wakristo wanasema Allaah ni utatu na sisi tunasema Allaah ni Mmoja. Hakuna tofauti katika haya?! Tunamuomba Allaah afya. Ikiwa ni mwenye kukusudia kwa kusema haya, ni mwenye khatari juu ya ´Aqiydah yake. Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jalla).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/anayesema-hakuna-tofauti-kati-ya-waislamu-na-wakristo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)