Swali: Baadhi ya wanachuoni wamesema kwamba yule atakayepinga Hadiyth katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy basi amekufuru. Unasemaje juu ya maneno haya?
Jibu: “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy Ummah mzima wameipokea kwa kuikubali. Ni kitabu chenye kukata kabisa. Ama kuhusu kukufurishwa ni jambo linahitajia kuangaliwa vizuri. Mtu huyu anaweza kuwa amefahamu vibaya. Kwa hivyo asikufurishwe mpaka kwanza abainishiwe.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 23/03/2018
Swali: Baadhi ya wanachuoni wamesema kwamba yule atakayepinga Hadiyth katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy basi amekufuru. Unasemaje juu ya maneno haya?
Jibu: “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy Ummah mzima wameipokea kwa kuikubali. Ni kitabu chenye kukata kabisa. Ama kuhusu kukufurishwa ni jambo linahitajia kuangaliwa vizuri. Mtu huyu anaweza kuwa amefahamu vibaya. Kwa hivyo asikufurishwe mpaka kwanza abainishiwe.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 23/03/2018
https://firqatunnajia.com/anayepinga-hadiyth-katika-al-bukhaariy-ni-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)