Swali: Ni ipi hukumu ya kuvua soksi kila wakati wa kutawadha kwa sababu ya kuhakikisha twahara?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Huku ni kujifananisha na Raafidhwah ambao hawaonelei kujuzu kufuta juu ya khofu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia al-Mughiyrah pindi alipotaka kumvua soksi zake za ngozi:
“Ziache. Kwani hakika nilizivaa zikiwa safi.”
Akafuta juu yazo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/159)
- Imechapishwa: 02/07/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvua soksi kila wakati wa kutawadha kwa sababu ya kuhakikisha twahara?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Huku ni kujifananisha na Raafidhwah ambao hawaonelei kujuzu kufuta juu ya khofu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia al-Mughiyrah pindi alipotaka kumvua soksi zake za ngozi:
“Ziache. Kwani hakika nilizivaa zikiwa safi.”
Akafuta juu yazo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/159)
Imechapishwa: 02/07/2017
https://firqatunnajia.com/anavua-soksi-kila-anapotaka-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)