Swali 15: Je, imethibiti kwamba shaytwaan husema wakati anaposujudu binadamu:
“Ole wangu! Mwanadamu ameamrishwa kusujudu, ambapo akasujudu na atapata Pepo. Na mimi niliamrishwa kusujudu, ambapo nikakataa na ninapata Moto.”[1]?
Jibu: Haya yamepokelewa. Lakini hivi sasa sikumbuki hali ya cheni ya wapokezi wake.
Shaytwaan hujiombea maangamivu anapomuona mwanadamu anasujudu na atapata Pepo. Na mimi niliyekataa nitapata Moto. Kusema kwamba shaytwaan alikataa kinachoasiriwa ni pindi Malaika walipomsujudia Aadam ambapo shaytwaan akakataa.
[1] Muslim (82).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
- Imechapishwa: 03/10/2018
Swali 15: Je, imethibiti kwamba shaytwaan husema wakati anaposujudu binadamu:
“Ole wangu! Mwanadamu ameamrishwa kusujudu, ambapo akasujudu na atapata Pepo. Na mimi niliamrishwa kusujudu, ambapo nikakataa na ninapata Moto.”[1]?
Jibu: Haya yamepokelewa. Lakini hivi sasa sikumbuki hali ya cheni ya wapokezi wake.
Shaytwaan hujiombea maangamivu anapomuona mwanadamu anasujudu na atapata Pepo. Na mimi niliyekataa nitapata Moto. Kusema kwamba shaytwaan alikataa kinachoasiriwa ni pindi Malaika walipomsujudia Aadam ambapo shaytwaan akakataa.
[1] Muslim (82).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
Imechapishwa: 03/10/2018
https://firqatunnajia.com/anavosema-shaytwaan-wakati-binadamu-anavosujudu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)