Swali: Inajuzu kwa mwanamke kuomba kujivua (الخلع) kutoka kwa mume wake kwa sababu amemuoea juu yake mwanamke mwingine?

Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Allaah amemhalalishia kufanya hivo. Allaah amemhalalishia kuoa wake wengi. Kwa hivyo haijuzu kwake kuomba kutengana pindi atapooa juu yake mwanamke mwingine.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D9%8A%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-01-07-1439.lite__0.mp3
  • Imechapishwa: 06/10/2018