Swali: Nilitoka mjini mwangu na nikapita kituoni na kipindi hicho sikuwa mwenye kunuia ´Umrah. Nilipofika Makkah nikataka kufanya ´Umrah. Niingilie Ihraam kwa wapi?
Jibu: Nende Tan´iym, Ju´raanah au ´Arabah. Kwa msemo mwingine kwenye mipaka ya Haram. Nende huko na unuie ´Umrah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 26/01/2020
Swali: Nilitoka mjini mwangu na nikapita kituoni na kipindi hicho sikuwa mwenye kunuia ´Umrah. Nilipofika Makkah nikataka kufanya ´Umrah. Niingilie Ihraam kwa wapi?
Jibu: Nende Tan´iym, Ju´raanah au ´Arabah. Kwa msemo mwingine kwenye mipaka ya Haram. Nende huko na unuie ´Umrah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (20) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-6-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 26/01/2020
https://firqatunnajia.com/anataka-kufanya-umrah-baada-ya-kufika-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)