Swali: Kila siku nasafari nje ya ar-Riyaadh umbali wa 100 km na narudi mwishoni mwa siku kwa sababu ya masomo. Je, inajuzu kwangu kukusanya Dhuhr na ´Aswr?
Jibu: Ndio. Wewe una haki zaidi ya ruhusa kuliko wengine. Yule ambaye anasafiri kila siku ana haki zaidi ya ruhusa kuliko wengine. Midhali unasafiri 100 km au zaidi, basi wewe ni msafiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Kila siku nasafari nje ya ar-Riyaadh umbali wa 100 km na narudi mwishoni mwa siku kwa sababu ya masomo. Je, inajuzu kwangu kukusanya Dhuhr na ´Aswr?
Jibu: Ndio. Wewe una haki zaidi ya ruhusa kuliko wengine. Yule ambaye anasafiri kila siku ana haki zaidi ya ruhusa kuliko wengine. Midhali unasafiri 100 km au zaidi, basi wewe ni msafiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/anasafiri-kila-siku-100-km/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)