Swali: Ni ipi hukumu kwa mja ambaye kila anapotubu juu ya dhambi baadaye anairudi?
Jibu: Akitubu tawbah ya kweli juu ya dhambi basi atambue kuwa tawbah inafuta yaliyo kabla yake. Akirudi upya basi dhambi zinarudi upya juu ya ile dhambi mpya. Kuhusu ile dhambi ya mwanzo ambayo alitubu tawbah ya kweli amekwishafutiwa. Kila tawbah inafuta yaliyopita kabla yake na kunabaki [dhambi] mpya.
Kwa hiyo ni atilie manani tawbah, alazimiane nayo na ajitahidi kujisalimisha na madhambi. Kuhusu tawbah ni yenye kufuta yaliyo ya kabla yake. Hatochukuliwa hatua kwa ile dhambi ya mwanzo muda wa kuwa ametubu tawbah ya kweli.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4297/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%85%D9%86-%D9%8A%D8%AA%D9%88%D8%A8-%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B9%D8%B5%D9%8A%D8%A9-%D8%AB%D9%85-%D9%8A%D8%B9%D9%88%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D9%8A%D9%87%D8%A7
- Imechapishwa: 03/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mja ambaye kila anapotubu juu ya dhambi baadaye anairudi?
Jibu: Akitubu tawbah ya kweli juu ya dhambi basi atambue kuwa tawbah inafuta yaliyo kabla yake. Akirudi upya basi dhambi zinarudi upya juu ya ile dhambi mpya. Kuhusu ile dhambi ya mwanzo ambayo alitubu tawbah ya kweli amekwishafutiwa. Kila tawbah inafuta yaliyopita kabla yake na kunabaki [dhambi] mpya.
Kwa hiyo ni atilie manani tawbah, alazimiane nayo na ajitahidi kujisalimisha na madhambi. Kuhusu tawbah ni yenye kufuta yaliyo ya kabla yake. Hatochukuliwa hatua kwa ile dhambi ya mwanzo muda wa kuwa ametubu tawbah ya kweli.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4297/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%85%D9%86-%D9%8A%D8%AA%D9%88%D8%A8-%D9%85%D9%86-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B9%D8%B5%D9%8A%D8%A9-%D8%AB%D9%85-%D9%8A%D8%B9%D9%88%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D9%8A%D9%87%D8%A7
Imechapishwa: 03/07/2020
https://firqatunnajia.com/anarudi-katika-dhambi-kila-baada-ya-kutubu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)