Swali: Naswali usiku kile kiasi anachokitaka Allaah na napiga Rak´ah nyingi. Natoa Tasliym baada ya Rak´ah tatu na Rak´ah nne mpaka napoteza hesabu nimeswali Rak´ah ngapi. Ni ipi hukumu ya swalah yangu?
Jibu: Ajengee juu ya yakini. Akiwa na dhana kubwa juu ya kitu basi ajengee juu yake kisha asujudu sujuud ya kusahau. Akiwa na dhana kubwa ya zile Rak´ah alizoswali basi hakuna kinachomlazimu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21663/حكم-من-يسهو-كثيرا-فلا-يعلم-كم-صلى
- Imechapishwa: 08/09/2022
Swali: Naswali usiku kile kiasi anachokitaka Allaah na napiga Rak´ah nyingi. Natoa Tasliym baada ya Rak´ah tatu na Rak´ah nne mpaka napoteza hesabu nimeswali Rak´ah ngapi. Ni ipi hukumu ya swalah yangu?
Jibu: Ajengee juu ya yakini. Akiwa na dhana kubwa juu ya kitu basi ajengee juu yake kisha asujudu sujuud ya kusahau. Akiwa na dhana kubwa ya zile Rak´ah alizoswali basi hakuna kinachomlazimu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21663/حكم-من-يسهو-كثيرا-فلا-يعلم-كم-صلى
Imechapishwa: 08/09/2022
https://firqatunnajia.com/anapoteza-hesabu-ya-zile-rakah-alizoswali-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)