Swali: Mume ana haki ya kumzuia mke kuwatembelea wazazi wake?
Jibu: Haitakikani kumsababishia kukata udugu. Badala yake anatakiwa kumhimiza kuuga udugu na kuwatembelea wazazi wake. Isipokuwa tu ikiwa wazazi wawili hao wanaharibu mahusiano ya mwanamke kwa mume wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 30/12/2020
Swali: Mume ana haki ya kumzuia mke kuwatembelea wazazi wake?
Jibu: Haitakikani kumsababishia kukata udugu. Badala yake anatakiwa kumhimiza kuuga udugu na kuwatembelea wazazi wake. Isipokuwa tu ikiwa wazazi wawili hao wanaharibu mahusiano ya mwanamke kwa mume wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 30/12/2020
https://firqatunnajia.com/anamzuia-mke-kuwatembelea-wazazi-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)