Swali: Baadhi ya waume wanawaita wake zao wasifu wa ´mama wa waumini`.
Jibu: Hili ni haramu. Si halali kwa yeyote kumwita mke wake mama wa waumini. Muqtadha yake ni kwamba yeye pia ni Nabii. Kwa sababu wanaosifiwa kuwa ni mama wa waumini ni wakeze Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anataka kujifanyia nafasi ya unabii na ajiite kuwa ni Nabii? Ni lazima kwa mtu kuepuka maneno kama haya na amwomba Allaah msamaha kutokana na yaliyopitika kwake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 23
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Baadhi ya waume wanawaita wake zao wasifu wa ´mama wa waumini`.
Jibu: Hili ni haramu. Si halali kwa yeyote kumwita mke wake mama wa waumini. Muqtadha yake ni kwamba yeye pia ni Nabii. Kwa sababu wanaosifiwa kuwa ni mama wa waumini ni wakeze Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anataka kujifanyia nafasi ya unabii na ajiite kuwa ni Nabii? Ni lazima kwa mtu kuepuka maneno kama haya na amwomba Allaah msamaha kutokana na yaliyopitika kwake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 23
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/anamwita-mke-wake-mama-wa-waumini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)