Swali: Nikimuuzia mmiliki wa duka dhahabu za zamani na akanipa pesa. Kisha baada ya hapo nikanunua kutoka kwake dhahabu mpya. Je, katika sura hii kuna ubaya?
Jibu: Katika sura hii hakuna ubaya. Mtu anamiliki mapambo ya zamani. Akaja kwa mfanyabiashara na kumuuzia nazo ambapo akampa pesa. Kisha baada ya hapo akanunua kutoka kwake mapambo mapya. Sura hii haina neno na wala haina utatizi wowote.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (57) http://binothaimeen.net/content/1301
- Imechapishwa: 20/10/2019
Swali: Nikimuuzia mmiliki wa duka dhahabu za zamani na akanipa pesa. Kisha baada ya hapo nikanunua kutoka kwake dhahabu mpya. Je, katika sura hii kuna ubaya?
Jibu: Katika sura hii hakuna ubaya. Mtu anamiliki mapambo ya zamani. Akaja kwa mfanyabiashara na kumuuzia nazo ambapo akampa pesa. Kisha baada ya hapo akanunua kutoka kwake mapambo mapya. Sura hii haina neno na wala haina utatizi wowote.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (57) http://binothaimeen.net/content/1301
Imechapishwa: 20/10/2019
https://firqatunnajia.com/anamuuzia-mfanyabiashara-dhahabu-za-kale-na-kununua-zengine-mpya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)