Swali: Yule ambaye amekuja amechelewa akiswali na imamu. Wakati imamu alipoleta Tasliym yule mswaliji akasimama ili akamilishe swalah yake. Kisha baadaye ikaja kubainika kuwa imamu ametoa Tasliym kabla ya kukamilisha swalah yake na hivyo imamu akasimama ili aweze kukamilisha swalah yake. Ni kipi afanye yule mswaliji?
Jibu: Hakuna neno akirudi na akaswali naye. Anapewa udhuru kwa kule kusimama kwake. Vivyo hivyo ni sawa endapo atakamilisha swalah yake na akakamilisha kuswali kivyake. Kwa msemo mwingine ni kwamba yuko na khiyari [kati ya hayo mawili].
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 12/03/2021
Swali: Yule ambaye amekuja amechelewa akiswali na imamu. Wakati imamu alipoleta Tasliym yule mswaliji akasimama ili akamilishe swalah yake. Kisha baadaye ikaja kubainika kuwa imamu ametoa Tasliym kabla ya kukamilisha swalah yake na hivyo imamu akasimama ili aweze kukamilisha swalah yake. Ni kipi afanye yule mswaliji?
Jibu: Hakuna neno akirudi na akaswali naye. Anapewa udhuru kwa kule kusimama kwake. Vivyo hivyo ni sawa endapo atakamilisha swalah yake na akakamilisha kuswali kivyake. Kwa msemo mwingine ni kwamba yuko na khiyari [kati ya hayo mawili].
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 12/03/2021
https://firqatunnajia.com/amfuate-imamu-au-akamilishe-swalah-yake-kivyake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)