Swali: Kwa muda wa miezi miwili mwanamke alikuwa akipangusa kichwa chake wakati wa kuoga janaba. Hakuwa anajua kuwa ni lazima kuziosha. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Hakutwahirika. Hakuosha nywele zake. Twahara yake haikutumia. Ni lazima kwake kuzirudi swalah zake kwa kupangilia. Ni kwa nini hakuuliza? Kwa nini hakuwauliza wanachuoni?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 13/11/2016
Swali: Kwa muda wa miezi miwili mwanamke alikuwa akipangusa kichwa chake wakati wa kuoga janaba. Hakuwa anajua kuwa ni lazima kuziosha. Ni lipi la wajibu kwake?
Jibu: Hakutwahirika. Hakuosha nywele zake. Twahara yake haikutumia. Ni lazima kwake kuzirudi swalah zake kwa kupangilia. Ni kwa nini hakuuliza? Kwa nini hakuwauliza wanachuoni?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 13/11/2016
https://firqatunnajia.com/ameswali-miezi-miwili-bila-kuosha-nywele-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)