Swali: Nilikuwa nikiswali kwenye msikiti ulio na kaburi kwa muda wa miaka kumi. Ni ipi hukumu ya swalah zangu kwa muda huu?
Jibu: Swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Kwa kuwa ulikuwa hujabainikiwa na makatazo juu ya hili. Kwa hiyo swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Lakini usiswali ndani yake baada ya kubainikiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 03/02/2017
Swali: Nilikuwa nikiswali kwenye msikiti ulio na kaburi kwa muda wa miaka kumi. Ni ipi hukumu ya swalah zangu kwa muda huu?
Jibu: Swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Kwa kuwa ulikuwa hujabainikiwa na makatazo juu ya hili. Kwa hiyo swalah yako ni sahihi – Allaah akitaka. Lakini usiswali ndani yake baada ya kubainikiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 03/02/2017
https://firqatunnajia.com/ameswali-kwenye-msikiti-wa-kaburi-kwa-miaka-kumi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)